KENYA YARUHUSU DAWA ZA KUZUIA VVU

 Serikali ya Kenya imeruhusu Maduka ya Dawa za Binadamu kuanza kutoa huduma ya kwanza ya Dawa ya Kuzuia Maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI  baada ua tafiti kuonesha zitasaidia Watu kuzipata kwa haraka na kuzitumia. 


Majaribio yaliyofanywa chini ya Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI na Magonjwa ya Kuambukiza  katika maeneo yenye maambukizi makubwa yamekuwa na matokeo chanya na Watumiaji wa dawa hizo kuongezeka.



Post a Comment (0)
Previous Post Next Post